Tuesday 31 July 2018

MISINGI MUNGU ALIYOIWEKA KATIKA KUJIBU MAOMBI YETU.

BWANA YESU ASIFIWE

MISINGI MUNGU ALIYOIWEKA KATIKA KUJIBU MAOMBI YETU.

Ni utaratibu ambao Mungu ameuweka ili kila mmoja atakayeufuata maombi yake yajibiwe na anatamani sana sisi watoto wake tuujue ili kuonewa na Yule mwovu kukimbie kati yetu.

Hakuna njia nyingine yoyote ya MTU kujibiwa maombi yake endapo hatafuata misingi hii.
Ndiyo maana unatakiwa uijue maana usipoijuwa hakuna namna yoyote ya Mungu kukuhurumia na kukujibu eti kisa hujui.

Maana kusudi la Mungu kukuumba ni ili umjue na kumpenda kisha umtumikie.

Sifa na utukufu ni kwa Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo ambaye muda wote anatuwazia mema tu.
Kwa uwezo wa Roho wake Mtakatifu Leo amekusudia kutufunulia tena siri za mbinguni kwa wema wake tu ili tupate kuzijuwa mbinu za kumshinda yule baba wa uongo.

Lengo la somo hili ni kumwezesha kila mmoja kumwendea Mungu na kutokuwa na Shaka kwamba hajasikiwa au kujibiwa.
BWANA YESU ASIFIWE SANA.

Neno la msingi katika mafundisho yetu ni

MARKO 16:17A
Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio;

******************

Naposema MARKO sura ya 16 mstari wa 17A inamaanisha kwamba unapoona katika andiko mwisho wa mstari kunakuwa na alama hii ; inamaanisha huo mstari unajitegemea.

Sasa Leo tutauchambua huo mstari kwa undani zaidi.

MARKO 16:17A
Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio;

*****************

Ishara ni muujiza wa kiungu unaotokea kwa mwombaji aliyeamua kumwelekea Mungu.
Sasa Mungu anasema kwamba ili hizo ishara zije kwako ni lazima kwanza uliamini neno lake kwamba linamaanisha kwamba ni kweli kabisa kile linachokiongelea.

Je, ni kweli huwa Mungu anakusikiliza kila wakati unapokuwa unaomba?

Mungu bado anafanya Kazi mpaka sasa hivi?

MAJIBU
Mungu alishamaliza Kazi tangu mwanzo na alishauweka utaratibu au misingi kamili ambayo inamuonyesha kwamba bado anajishughulisha lakini ukweli ni kwamba yeye kwa sasa ameketi katika kiti chake cha enzi huku misingi yake ikifanya Kazi.

Yani ni kama wewe umefanya Kazi ukiwa kijana ukajiwekea miradi mbalimbali ambayo itakusaidia wewe utakapokuwa mzee uwe umetulia tu nyumbani lakini unaingiza fedha kila siku.
Huo uwezo wa kujiingizia kipato huku hujishughulishi ni kutokana na misingi uliyoiweka tangu awali.

MWANZO 1:27-28
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.

****************

Mungu alikusudia kabisa sisi wateule tuwe kama yeye lakini tumeshindwa kuzitumia nafasi zetu.
Ndiyo maana akatuumba kwa mfano wake na kila kilicho chake akakiweka ndani yetu ili tu tuvitumie na kufikia viwango vyovyote tunavyotaka na anavyotaka yeye pia.
Mungu siyo mwoga, siyo mwongo, hashindwi, hasemi uongo, na akitamka tu neno inakuwa.

Mungu ametuambia tuzaane na kuongezeka, zaidi ya yote pia tuitiishe nchi na kila kiumbe.
Mungu asingeweza kutuagiza kufanya mambo yote hayo ikiwa hajatuwekea vitendea Kazi.

MWANZO 2:2
Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.

******************

Mungu alipomaliza Kazi yake yote hapo mwanzo, hakuna mahali popote ambapo biblia inatuambia kuwa alirudi tena kufanya kazi.
Aliacha kazi yake yote aliyoifanya ili iendelee kwa namna alivyoiwekea mfumo na msingi imara.

Mungu alivyoiumba dunia na vyote vilivyomo alimaliza kazi yote na hakuja kurekebisha tena kitu chochote.

Mungu huwa hawazi kila siku na wala hapati akili mpya au eti akili yake iongezeke.
Alivyowaza mara moja tu paaaaaaaaaaaaaaaaaaa aliwaza kuanzia MWANZO mpaka UFUNUO.

Kwa sasa NENO lake ndilo linalofanya kazi maana NENO linaongea, neno liko hai na neno ndilo mrithi wa yote.

WAEBRANIA 1:1-2
Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,

mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.

*****************
Mtendaji wa kazi kwa sasa ni Neno ambaye ni YESU KRISTO na katika hilo neno ndiko tunakotimiziwa ahadi zote zilizoko ndani yake.

Ndiyo maana unapoomba hata uombeje kama hujatumia neno ili hilo neno likusikie na lithihirike kwako ujue hakuna jambo jipya litakalotokea kwako.

MATHAYO 18:19-20
Tena nawaambia, ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lo lote watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni.

Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.

****************

Yesu anasema wawili watakapopatana duniani katika jambo lolote Baba atawafanyia.
Anatoa na sababu kwamba Baba atawafanyia kwakuwa yeye yuko hapo.
Mungu anajibu kupitia neno lake ambalo ni YESU KRISTO.

Pia anasema anakuja kuangalia neno lake ili alitimize.

ISAYA 55:10-11
Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;

Ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.

******************

Mungu analifananisha neno lake na mvua na anasema litatimiza.
Anasema litatimiza kwasababu utakapofuata maelekezo sahihi katika kuomba kwako basi lile neno litatimiza na siyo kwamba Mungu atakusikiliza tena na kukutendea.

Yani lile neno linakutambua wewe na lipo pale kwaajili yako ili litimize mapenzi ya Mungu kama ni kukubariki likubariki au kama ni kukulinda likulinde.

Neno ni kama mvua maana mvua inaponyesha huwa kuna MTU inamfaidisha na kuna MTU haimfaidishi.
Inamfaidisha aliyepanda mbegu lakini kama hujapanda mbegu hutakuwa na faida na hiyo mvua.

Kwamfano neno lipo kabisa linasema nitakuponya na ni neno la Mungu la kweli na hakika.
Sasa wewe ni mgonjwa na unapomwomba Mungu akuponye hujataja hilo neno ili likuponye
Yani hapo hilo neno lilipo hujapagusa wala hujalitaja ili lije likuponye.
Hapo hutapona maana lile neno halitakuja.

Ili neno litimize linachosema ni mpaka uwe na uhitaji na hilo neno.

POINT
UKIOMBA MOJA KWA MOJA KWA MUNGU BILA KUTUMIA NENO LAKE HATAKUSIKIA.
WALA MUNGU HAJAWEKA UWEZEKANO WA KUKUSIKIA BILA KUTUMIA NENO LAKE.
MAANA ALISHAIMALIZA KAZI YAKE PALE MWANZO NA KILA KITU AMEACHIA NENO LAKE LITUHUDUMIE.
YEYE HAFANYI TENA KAZI YOYOTE YUKO KWENYE KITI CHAKE CHA ENZI AMETULIA BWANA WA MAJESHI.

Ukiwa na neno ndani yako neno litakutambua na kutimiza mapenzi ya Mungu kwako katika Jambo lolote unalohitaji.

Hakuna uwezekano wa Mungu kukusikiliza ikiwa umeomba vibaya bila kufuata neno lake.

MFANO
Kama unaona mifumo wanayoitumia wenye mitandao ya mawasiliano ya simu za mkononi.

Unapopiga namba ya huduma kwa wateja huwa ukifuata maelekezo unayoambiwa utajikuta umeshajibiwa shida yako pasipo kuongea na mtoa huduma.
Lakini ukikosea tu simu inakatika mawasiliano wala hutapata msaada.
Huwa unapopiga ile namba hakuna MTU anaekusikiliza Bali ni mfumo umewekwa hivyo ili wateja watakapofuata maelekezo watatuliwe shida zao.

Ndiyo hivyohivyo Mungu ameweka mfumo katika neno lake inakubidi ufuate misingi ya kuomba.

Lile neno liko kwaajili yako na linakusubiri wewe gombel uliguse ili likutendee mapenzi ya Mungu.
Nachosisitiza tu kwa sasa ni wewe kujuwa kwamba neno la Mungu ndilo linatenda sasa mpaka atakapobatilisha utatu mtakatifu.

1WAKORINTHO 15:24-28
Hapo ndipo mwisho, atakapompa Mungu Baba ufalme wake; atakapobatilisha utawala wote, na mamlaka yote, na nguvu.

Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke maadui wake wote chini ya miguu yake.

Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.

Kwa kuwa, Alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake. Lakini atakaposema, Vyote vimetiishwa, ni dhahiri ya kuwa yeye aliyemtiishia vitu vyote hayumo.

Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.

***************

Tunaona kabisa kwa andiko hili kwamba Yesu Kristo ndiye mtendaji wa yote katika ahadi iliyo katika neno kwani mamlaka yote mbinguni na duniani  amepewa yeye.
Hakuna kinachofanyika bila utatu mtakatifu na mpaka baada ya yote ndipo utabatilishwa.

Ili neno la Mungu litimize linachosema kwako sasa unapaswa uliamini na ndiyo maana katika neno letu la msingi linasema kwamba ishara zitafuatana na hao waaminio.

Ili uamini ni mpaka uwe na imani ambapo biblia inatuambia

WAEBRANIA 11:1
Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

***************

Neno linaongea kitu ambacho hakionekani katika macho ya kawaida na haijalishi hukioni Bali unatakiwa ukiamini tu.
Utakapoamini ndipo ishara itakuja na kuiona.

Hutakiwi kuhitaji kuona kwanza Bali unaposikia tu neno unatakiwa kuliamini moja kwa moja ndipo ishara itakuja na kupokea haki yako iliyobebwa na hilo neno.

WARUMI 10:17
Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.

****************

Mungu anasema

WAEBRANIA 10:38
Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisita-sita, roho yangu haina furaha naye.

HABAKUKI 2:4
Tazama, roho yake hujivuna, haina unyofu ndani yake; lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake.

******************

Ili haki yako iliyobebwa ndani ya neno ionekane kwako kwanza ni lazima uamini kwa kusikia lile neno ndipo ishara yake ikufuate wewe uaminiye.

Wakati unaomba bila kufuata utaratibu wa Mungu huwa unajiweka katika nafasi ya kutokupata msaada wowote.
Huwa Mungu anatamani akusaidie lakini tatizo alishaweka mrithi ambaye ni Yesu Kristo (NENO) na hawezi kuingilia tena.

WAEBRANIA 1:1-2
Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,

mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.

*****************
Kwa misingi hii tunaona kabisa kwamba Mungu hafanyi tena Kazi kwa sasa Bali amemweka mwana kuwa mrithi, mwana ambaye ni Yesu na Yesu ambaye ni Neno.

Hivyo utakapoliamini lile neno kwa kulisikia ndipo ishara na ahadi zilizopo katika hilo neno zitakapokufuata wewe.
Vinginevyo utaomba sana lakini hutapata msaada wowote.
Badala yake atakuwa anasikitika tu kwa wewe kushindwa kuyajuwa maarifa na anabaki akisema.
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.

NAKUSHUKURU SANA ROHO MTAKATIFU KWA KUACHILIA TENA UFAHAMU HUU.
SIFA NA UTUKUFU NI KWAKO ROHO WA BWANA.

MUNGU AKUBARIKI SANA KWA JINA LA YESU KRISTO.

#Powered_By_Holly_Spirt

IN ENGLISH

THE LORD JESUS ​​IS NOT DONE

GOD'S CHILDREN MAY BE REQUIRED IN OUR NEXT FOR OUR NEXT.

It is the order that God has set for each one to follow his prayer and to desire his children to know it to be seen by the Evil One to flee among us.

There is no other MT solution to respond to its application if it does not follow these principles.
That's why you should know what it means when you do not know it's not God's way to sympathize with you and tell you the story you do not know.

For the purpose of God is to make you know and love Him and then to serve Him.

Glory and glory are to the God of our Lord Jesus Christ who always imparts us to good.
By the power of His Holy Spirit, He has purposed to reveal to us the mysteries of heaven for His goodness only to understand the ways of overcoming the false father.

The purpose of this lesson is to enable each other to come to God and not to have any doubt that he is not impressed or answered.
JESUS ​​IS NOT ASKED.

The key word in our teaching is

Mark 16: 17A
And these signs shall be with those who believe;

******************

I read MARKO chapter 16 verse 17A means that when you see in the text the end of the verse contains this mark; means that line is independent.

Today we will analyze that verse in more detail.

Mark 16: 17A
And these signs shall be with those who believe;

*****************

The sign is a divine miracle that occurs to the requester who has decided to approach God.
Now God says that in order for these signs to come to you you must first believe his word that means that is exactly what it is talking about.

Is it really God that hears you every time you pray?

Does God still work until now?

ANSWERS
God has completed the work from the beginning and has set up a perfect order or basis that shows him that he still cares for himself but the fact is that he is now sitting on his throne with its foundations working.

What if you've worked as an adolescent and set up a variety of projects that will help you when you are old enough to get home at home but earn money every day.
The ability to earn income while engaging in it is based on the principles you set before.

ACTS 1: 27-28
God created man in His image, in the image of God created, man and woman created them.

And God blessed them, and God said unto them, Be fruitful, and multiply, and replenish the land, and subdue it; control the fish of the sea, and every living creature that moves on the earth.

****************

God wanted us to be like him but we failed to use our positions.
That is why He created us in His image and everything He has put in us so that we can apply it and meet whatever we want and what He wants us to do.
God is not a coward, it's not a lie, a failure, does not lie, and just say the word becomes.

God has told us to grow together and grow, and above all, let us satisfy the earth and every creature.
God could not have commanded us to do all these things if he did not let us work.

ACTS 2: 2
And on the seventh day God finished all his work which he had done; He stayed on the seventh day and stopped doing all his work he had done.

******************

When God finished His work in the beginning, no place where the Bible tells us that he returned to work.
He left all his work to continue in the way he set up with a solid foundation.

God created the universe and everything in it he finished all work and did not come to remedy any other thing.

God does not know everyday and he does not have a new mind or does his mind grow.
He once thought of himself at the point of view from the ONLY to the OPEN.

At present his word is working because NOW speaks, the word is alive and the word is the successor of all.

SECTION 1: 1-2
God, who spoke long ago with our fathers in the many parts and in many ways,

The end of these days has spoken to us in the Son, who has made him the heir of all, and to him who made the world.

*****************
The workpiece is now the Word that is JESUS ​​CHRIST and in that word we are fulfilling all the promises contained in it.

That's why you do not use the word so that the word will hear and stick to you, you know that no new thing will happen to you.

MATTHEW 18: 19-20
Again I say to you, that if you agree on earth in anything, whatever they ask, it will be done to them of my Father which is in heaven.

For where there are three gathered together in my name, and I am in the midst of them.

****************

Jesus says two will be united on earth in whatever the Father will do for them.
He gives the reason that the Father will do for them because he is there.
God responds through His word which is JESUS ​​CHRIST.

He also says he comes to look at his word to fulfill it.

ISAIAH 55: 10-11
For as the rain cometh down, and the snow from heaven, and cometh not thither; but it that eateth bread, and bringeth forth it, and giveth it to the man that soweth seed;

So my word, that goes out of my mouth; it will not return to me but it will accomplish my will, and it will succeed in the things I sent.

******************

God likens his word to rain and says it will accomplish.
He says it will be fulfilled because you follow the correct instructions in your request then the word will be fulfilled and not that God will hear you again and do it.

What the word recognizes you and is there for your subscription to fulfill God's will to bless you or to keep you from guarding you.

The word is like rain because rain suggests that there is a person who helps and there is no one who does not benefit.
It helps the plant to plant but if you do not plant the seed it will be beneficial and it will rain.

For example, the word exists and I will heal you and it is the word of the true God and sure.
Now you are sick and when you pray for God to heal you say that word to heal you
Where is the word there is no comment and no mention of it to come in.
There you will not feel that the word will not come.

For the word to fulfill what it says is until you need it with that word.

POINT
ASKING ONLY TO GOD DO NOT USE HIS NAME HAS NOT HAPPENED.
BEFORE GOD CAN NOT HAVE ETERNITY OF HUMAN RELATIONSHIPS TO USE HIS NAME.
HUMAN RELIGION HAS NOT HAPPENED HIS BODY IN HUMANITY AND HAS HAPPENED HIS NAME AND HIS NAME.
HE DO NOT HAPPEN TO ALL WORKS THAT HAVE BEFORE THE TOOL OF THE ENVIRONMENT OF THE ENVIRONMENTAL LEADERSHIP.

Having a word within you the word will recognize and fulfill God's will for you in whatever you need.

It is not possible for God to listen to you if you have prayed incorrectly without following his word.

Image
If you see the system they use with mobile phones.

When you enter a customer service you follow the instructions you are told you will find yourself responding to your problem without communicating with the service provider.
But if you're just mistaken, the phone is in contact and you will not get help.
When you call the number nobody listens But it's a system that is set so that customers will follow the directions will be set up for their problems.

So God has set the system in his word you have to follow the basis for praying.

This word is for your subscriber and it expects you to embrace it so that it can do God's will.
The only thing you can do now is that the word of God is what it is doing right now until it brings about the trinity.

1 CORINTHIANS 15: 24-28
That is the end, when he gives God the Father his kingdom; when he brings about all rulership, and all authority, and power.

For he must possess it, even to put all his enemies under his feet.

The last enemy to be abused is death.

Because, He put all things under his feet. But when he says, All things are fulfilled, it is obvious that he has left us all things is not.

When all things are finished under him, then the Son himself will also be subjected to him who has put all things to death, that God may be all in all.

***************

We find out in this verse that Jesus Christ is the one who is the greatest of all in the promise in the Word since all authority in heaven and on earth has been given to him.
Nothing is done without a sacred trinity and until after all it will be changed.

For the word of God to fulfill what it says to you now you should believe it and that's why in our basic word it says that the sign will accompany those who believe.

To believe it is until you have faith where the Bible tells us

READING 11: 1
So faith is the surety of things hoped for, the clearness of things that are invisible.

***************

The Word speaks something that does not appear in normal eyes and no matter what you see Bali you just have to believe it.
When you believe and the sign will come and see it.

You do not need to see first But when you hear the word you just have to believe it right and the sign will come and receive your right-handed word.

Romans 10:17
So faith, the source is to hear; and hearing comes by the word of Christ.

****************

God says

READING 10:38
But my righteous one will live by faith; And while he is still feeling, my soul is not happy with him.

Habakkuk 2: 4
Behold, his spirit is haughty, and is not upright in him; but the just will live by his faith.

******************

For your right to be enthroned in the word to appear first to you, you must believe in hearing the word and then sign it to follow you.

When you pray without following God's order, you keep yourself in the position of getting no help.
It is God's desire to help you but the problem lost the successor who is Jesus Christ (NOW) and can not intervene any more.

SECTION 1: 1-2
God, who spoke long ago with our fathers in the many parts and in many ways,

The end of these days has spoken to us in the Son, who has made him the heir of all, and to him who made the world.

*****************
On this basis we find that God is no longer active at present but has appointed his son to be an heir, who is Jesus and Jesus who is the Word.

So when you believe the word by hearing it is the signs and promises in the word that will follow you.
Otherwise you will pray very much but you will not get any help.
Instead, he will only be scared for you to know the facts and he remains to say it.
MY PEOPLE HAVE BENEFITED FOR NATURE INFORMATION.

REMEMBER AS THE HOLY SPIRIT BY EVERYTHING AND THINK YOU.
NOW AND GLORY IS THE LORD'S SPIRIT.

GOD IS NOT LIKE THE NAME OF JESUS ​​CHRIST.

#Powered_By_Holly_Spirt

MISINGI YA KUMPATA MKE/MUME SAHIHI

MISINGI YA KUMPATA MKE/MUME SAHIHI

BWANA YESU ASIFIWE SANA

Naomba leo tujifunze juu ya kumpata mtu sahihi katika maisha kwa wale wanaotamani sana kuwa na mahusiano bora katika ndoa zao.

UPOFU
Katika kumtazama mtu sahihi katika maisha yako unaweza ukatazama kwa macho ya kawaida ukachanganya na maoni ya watu wengine na wote wakakupongeza lakini kumbe umepigwa upofu.
Ili usiendelee kumtafuta gizani katika hali ya upofu ni lazima upate nuru katika macho yako ambayo hiyo nuru hutaipata kwa marafiki, ndugu wala wazazi wako bali utaipata kupitia neno la Mungu tu na ukijifanya mjuaji utakuja kujuzwa uliyopaswa kuyajuwa kabla hujachukua maamuzi yako na kumuoa au kuolewa naye.

2WAKORINTHO 4:3-4
Lakini ikiwa injili yetu imesitirika, imesitirika kwa hao wanaopotea;

ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.

******************
Kama hujamtazama kwa kutumia neno la Mungu basi hesabu maumivu kabisa katika hiyo ndoa.
Kama injili ilisitirika kwako ukaiweka pembeni basi ujue ulipotea njia katika hayo mahusiano.

mungu wa dunia hii ambaye ni shetani anapopofusha fikra zako basi hutataka kabisa kumtazama yeye kupitia neno la Mungu kwamba linasemaje juu yake.
Watu wengi wanapenda kuangalia kwa akili zao wenyewe na hata wanapoona kabisa mambo siyo mazuri katika hayo mahusiano huwa wanajifanya hawaoni kwaajili ya kulinda maslahi yao binafsi waliyoyaona kwa huyo mtu pengine ni muonekano, fedha au mali alizo nazo.

METHALI 31:30
Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili;Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa.

****************
Hapa ndiko penye upofu mwingine hasa kwa wanaume wengi.
Upendeleo unaozungumziwa hapa ni ile hali ya kufanya kitu kwa mtu asiyestahili.

Upendeleo ni Neema.

Kwa mfano sisi tulio ndani ya Kristo tumeokolewa kwa neema na siyo kwamba tulistahili sana.
Hivyo ulivyo wewe ni kwa neema tu siyo kwamba unastahili sana au una point yoyote ya kumwambia Mungu kwamba ulistahili uwe hivyo.
Sasa usije ukampenda msichana kwa upendeleo yani unamuona kabisa hana sifa za kuitwa mke halafu wewe ukamfanya kuwa mke.
Huo ni upendeleo lakini biblia inakuambia kwamba hudanganya.

Uzuri ni ubaliti lakini haimaanishi usiwe na mwanamke mzuri anaekupendeza, ila tu ule uzuri wake kisiwe ni kigezo cha yeye kuwa mke wako.
Nasisitiza kwamba ule uzuri wake kisije kikawa  ndicho kigezo cha wewe kumfanya kuwa mke.

Ubatili ni jambo lisilodumu na la kupita.
Uzuri huwa unapita maana hii miili yetu inaharibika lakini roho haipiti wala haizeeki ndiyo maana neno linasema kwamba mwanamke amchaye Bwana ndiye atakayesifiwa.
Kama ukipambana na uzuri na kuushikilia ujue ni lazima wewe utashindwa maana uzuri utakushinda na utakuacha na kuufuata uzee.

Kama mwanamke amchaye Bwana ndiye atakayesifiwa wewe unaelewa nini unapomuona mchumba wako anakuwa kipingamizi katika mambo yanayomhusu Mungu?

JE HUYO MWANAMKE ATASIFIWA NA NANI?

METHALI 3:4-5
Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri,Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.

Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;

*****************
Ili uheshimike na upate kibali kwa Mungu na kwa wanadamu ni lazima umtumaini Bwana.

Kama unasemwa na watu na hujapata kibali kwao usije ukajitia kiburi kwa kusema eti mimi simsikilizi mwanadamu na wakati huo hata Mungu hujamsikiliza wala humsikilizi pia.

MANENO YA MWANADAMU YANAKUWA HAYANA NGUVU ENDAPO YANAPINGANA NA MANENO YA MUNGU.

Mshitaki wetu sisi ni shetani naye anazunguka zunguka akitafuta mtu ammeze.
Wale unaowaona ni watu wasio na akili na waovu ndiyo hao hao wanaokuambia ukweli juu ya mwenza wako.

Sasa hupaswi kweli kusikiliza maneno ya watu lakini unapaswa kuangalia neno la Mungu je, linaongea nini juu ya haya nayoambiwa na hawa wanadamu.
Uzuri ni kwamba hakuna kitu chochote hapa duniani ambacho biblia haijazungumzia.

Ikiwa wanaongea maneno yao wenyewe yasiyo na kibali mbele za Mungu unapaswa kuyapuuza.
Lakini ikiwa wanayoyaongea yana maana na yanakufundisha ni kwanini usiyasikilize?

AMOSI 3:3
Je! Watu wawili waweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana?

*****************
Kwanza unatakiwa ujue ndoa ni agano baina ya watu wawili walio amua kuingia katika safari moja yenye lengo moja katika maisha.

Ni lazima kwanza mpatane mnachotaka kukifanya.
Lakini kama unaona mwenzako kuna mambo huwa mnabishana kila siku na hataki kabisa mpatane huyo anafaa kuingia kwenye ndoa?
Neno la Mungu linakuambia hamwezi kwenda pamoja.

Kila siku mnapatana kuwa waaminifu na wasikivu lakini mwenzako yeye anavunja yale mapatano kila wakati na unaendelea kung'ang'ana naye, unataka Mungu akuonyesheje kwamba huyu mtu hampatani?

Simaanishi kwamba hakuna madhaifu lakini unatakiwa utumie uwezo wa akili yako kuangalia wastani wa mambo mengi mnayopatana je huwa mapatano yanadumu au mengi huwa yanakiukwa?

Huyo ni mchumba tu na mnasuluhisha mambo kila siku jiulize mkifunga ndoa itakuwaje?
Mungu wetu ni mwaminifu maana anasema huwezi ukamwomba mkate akakupa jiwe.
Huwa anakuonyesha mapema lakini unajifanya huoni kwaajili ya tageti zako kwa yule mtu.

YOELI 2:28
Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, waume kwa wake, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono;

****************
Hili neno ni kweli kabisa na nilitaka tu tuone hapa alikosema vijana wenu wataona maono.

Ni kweli kabisa vijana tunaona maono na hata wewe huwa unaona maono lakini unapuuza.

Unapokuwa mtu uliye makini huwa unaonyeshwa mapema kabisa ila unajifanya huoni.

Unaweza ukamwona msichana kwa mara ya kwanza kabisa kavaa suruali na ukavutiwa nae.
Lakini hapohapo mawazo yanakuja haraka kwamba.

KUMB 22:5
Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.

*******************

Hapo sasa unamuona ni mzuri lakini pia neno la Mungu limeshamtafsiri kwamba yeye ni chukizo kwake.
Unataka uone maono gani tena?

HAYA NDIYO MAONO

Unapomuona Mwanaume/Msichana kwa mara ya kwanza kabisa halafu moyoni mwako ukamtoa kasoro ya tabia kulingana na muonekano wake, ujue ile ile tafsiri ya kwanza kabisa moyoni mwako hayo ndiyo maono yako lakini ikiwa inatafsiriwa na neno la Mungu.
Ikitokea ukajiliwaza kwa sababu zako binafsi basi ujue hayo ni mawazo ya shetani na unapingana na Mungu.

Yanaweza yakaja mawazo ya kwanza kabisa ukawaza moyoni mwako (HUYU NIMEVUTIWA NAYE LAKINI HAWA WASICHANA WANAOUZA BAR HUWA NI MALAYA TU)

Hiyo ni sauti ya Mungu kabisa lakini utakapoendelea kumtafakari kwa kumtazama utaingiza upendeleo na shetani naye anakuja kutia maneno yake ya kukuaminisha kwamba ni mtu sahihi.

Nakuhakikishia endapo utakuwa na mahusiano na yule msichana na ikatokea mkaja kuachana basi mtakuja kuachana kwasababu ileile uliyoiona kwake mwanzo kabisa ambayo ni umalaya.
Utamlaumu nani?
Ndiyo unaanza kusema, yani huyu hata siku niliyomuona tu kwa mara ya kwanza nilijuwa ni malaya.
KWAHIYO??  Kama ulijuwa ni malaya tukusaidieje?

KUWA NA MTU SAHIHI UPATE MATOKEO SAHIHI.

AKILI

Umeshamuomba Mungu juu ya mke mwema/mume mwema na wewe sasa unatakiwa uanze kuwa mwema kwanza ili upate wa kufanana na wewe.
Usifikiri unaweza ukampata mwema ikiwa wewe ni mwovu.
Usitarajie kabisa uwe waruwaru halafu umpate mtulivu.
Ndege wanaofanana huruka pamoja.
Wewe kama ni kupiga picha unajibinua binua kwenye mitandao yote ya kijamii ujue utakutana na mjinga mwezako huko huko mkavurugane.

Hili jambo la kutumia akili limekuwa ni changamoto pia.
Mwanaume/msichana anaweza akawa mcha Mungu na amesimama vyema kabisa kiroho lakini hatumii akili na kila kitu yeye ni maombi.
Hili nalo ni tatizo kumpenda Mungu kwa roho tu bila akili.

MATHAYO 22:37
Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.

*****************
Unapopenda kitu chochote ni lazima vitu vyote hivi vitumike ili ule upendo uwe salama kwako na ndiyo maana hata Mungu anasisitiza kwamba usipotumia akili yako yote hutaweza kumpenda.

Kupenda kwa akili siyo kosa maana hizo akili ni mali ya Mungu pia.
Kupenda kwa moyo ni ile hali ya kupenda na kutokuona hata udhaifu, kupenda bila kuwa makini, yani hujali hata watu watakuonaje bali unachotaka wewe ni kutimiza haja ya moyo wako.
Sasa hapo unakuwa umezama vilindini na kuzika fikra zako zote.

Hutumii akili hata kama kuna mambo unafanyiwa  ya kijinga lakini huoni maana fikra zako zimepofushwa na hata anafika hatua ya kukutenganisha na Mungu lakini unaendelea kuamini kwamba katoka kwa Mungu.

Yani hujali wala hutumii akili kuangalia je, huyu mtu ataweza kusimama kama mwanaume na kuwa kiongozi wa familia?
Huoni kama hajishughulishi na hatanui akili zake ili kuwa na maendeleo bali unachoangalia wewe ni Bwana asifiwe.
Utaenda kula kwa Bwana asifiwe?
Paulo mwenyewe alijuwa kuna Bwana asifiwe lakini akawaambia ikiwa mtu hataki kufanya kazi basi asile chakula.
Na pia Mungu anasema atabariki kazi za mikono yako.
Kama hufanyi kazi atakubarikije?

Uko na mwanamke kila muda sababu za kutaka fedha kwako haziishi lakini hutumii akili kujuwa kwamba huyo ni hasara katika maisha yako.
Je huyu kweli anafaa kuwa mke na maisha yakaenda sawa?

Yani muda mwingine mwanamke anakufanyia jambo la ajabu sana lakini akija amekuvalia kimini basi kesi inaisha.
Wewe hutumii akili lakini yeye anatumia akili na ndiyo maana akajuwa hiyo ndiyo dawa yako na kweli akafanikiwa.

USIPOTUMIA AKILI ZIKAONGOZA MAAMUZI NA UDHAIFU WA MOYO NA MWILI WAKO DUNIA ITAKUNYOOSHA TU.

Moyo unaweza ukakuambia siwezi kuwa mbali na huyu lakini akili ikakuambia huyu siyo mtu salama kwako.

Mwili na hisia vinaweza kukuambia kwamba haiwezekani kabisa kuwa mbali na huyo mtu lakini akili zinakuambia siyo kuwa naye mbali tu bali hafai kabisa hata kuongea naye kwenye simu.

Ni mzuri kweli ameushika moyo wako na hisia zako zote ni juu yake wala huoni mwingine.
Lakini ana kiburi cha maana, siyo mwelewa, dunia imemkamata sawasawa, hana heshima, hamsikilizani, wala hayupo makini, mgomvi, hafundishiki wala ukimuonya haonyeki.

1PETRO 3:7
Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.

*****************
Mungu anavyosema ukae nae kwaakili hamaanishi kwamba uache kumtegemea.
Kuna vitu vinakuwa nje ya uwezo wa akili zako hivyo ndivyo huwa Mungu huja hujitwalia utukufu.
Lakini kuna vingine unatakiwa utumie akili.
Siyo unasema kila kitu ni maombi tu bali ni maombi huku ukitumia akili kutoka kwenye hizo shida halafu Mungu ataiwezesha akili yako kuwaza hadi kufikia lengo.

Wapo watu hawajaokoka wala hawana mpango na Mungu lakini kwa kutumia akili za kawaida tu ambazo hata hazitokani na Mungu wamefanikiwa.
Sasa wewe uliye na Mungu ukitumia na akili za KIUNGU si utakuwa zaidi?

Kwani Mungu alishindwa nini kusema ukae na mke wako kiroho tu?
Akili Mungu anayotaka uitumie hapa ina kazi gani?

Usikae tu na mwenza wako halafu ukajipa moyo tu kwamba sisi tumeokoka nakuambia utalea hata watoto wa watu maana shetani yupo kuleta majaribu.
Unataka Mungu akuambie kwamba huu siyo muda wa mke wako kubeba ujauzito kama anakuletea ujauzito ambao hukulala nae siku za yeye kuweza kubeba huo ujauzito?

OGOPA DHAMBI, MTII MUNGU, TUMIA AKILI NA USIMTENDEE MWENZAKO JINSI USIVYOPENDA WEWE KUTENDEWA NAKUHAKIKISHIA UTAYAWEZA YOTE.

#Powered_By_Holly_Spirit

IN ENGLISH

METHOD FOR RECEIVING MARKET / MISS MEETING

JESUS ​​IS NOT ASKED

I pray today to learn about finding the right person in life for those who long to have the best relationships in their marriage.

PROFILE
In looking at the right person in your life you can look at the ordinary eyes and blend with the views of other people and all of them praising you but being blinded.
To keep on looking for darkness in a blind state you must have a light in your eyes that the light will not find by friends, relatives or parents but only through the Word of God and pretending to know what you should be aware of before making your decisions and getting married.

2 CORINTHIANS 4: 3-4
But if our gospel is frustrated, it is overlooked to those who are lost;

in whom the god of this world has blinded the minds of the unbelievers, not to shine on the light of the gospel of the glory of Christ, who is God's image.

******************
If you do not look at God's word then calculate the pain in the marriage.
If the gospel was reluctant to you and put it aside, then know that you lost the way in these relationships.

The god of this world, who is Satan, is blinding your thinking, so you will never want to see him through the Word of God what it says about him.
Many people like to look at their own ideas and even when they see things uncomfortable in these relationships they tend to do not see the aim of protecting their personal interests that they have seen from the person who is perhaps the appearance, money or possessions they possess.

ACTS 31:30
Pride deceives, and beauty is vanity: but the woman that feareth the LORD shall be accounted for.

****************
Here is another blindness for most men.
The privilege mentioned here is the state of doing something to the unworthy person.

Privilege is Grace.

For example, we who are in Christ are saved by grace and not necessarily deserved.
So what you are by grace is not just that you deserve so much or you have any point to tell God that you deserve to be so.
Now do not love the girl for the privilege you see her absolutely does not have the reputation of being a wife then you make her a wife.
That is a privilege but the Bible tells you that you are deceiving.

Beauty is betrayal but it does not mean you do not have a beautiful woman, but her beauty is not a criterion for her to be your wife.
I insist that its beauty does not matter if it is a criterion for you to make her a wife.

Violence is an indefinitely lasting thing.
Beauty is passing through because our bodies are corrupted but the soul is not infinite and it is not impossible because the word says that the woman who hates the Lord is the one who will be told.
If you struggle with beauty and hold fast to yourself you must fail and mean beauty will win you and you will leave you and follow it old.

If a woman hates the Lord is the one who will be told you understand when you see your boyfriend becoming an obstacle to things about God?

WHO IS THE WOMAN DESIGNED?

METHOD 3: 4-5
So you will gain the favor and good sense, the forehead of God and the human being.

Trust in the LORD with all your heart, and do not lean on your own mind;

*****************
In order to honor and gain favor with God and for humankind you must trust the Lord.

If you are spoken by people and you have not received the approval of them lest you be proud of saying that I do not listen to man at that time even though God listens to him or hears it too.

MANUAL INVESTMENTS CAN NOT HAVE A FOLLOWING LIFE THAT IS LIKE GOD'S WORDS.

Our accuser we are Satan and he circulates around looking for someone to accuse him.
Those you see are unwise and wicked people are the ones who tell you the truth about your partner.

Now you should not listen to the words of men but you should look at the word of God what does he say about what these are told to these human beings.
The beauty is that there is nothing here on earth that the Bible has not spoken about.

If they speak their own unfamiliar words before God you should ignore it.
But if they speak it meaningful and what they teach you why do not you listen?

Amos 3: 3
I am Can two walk together, unless they have agreed?

*****************
First you should know marriage is a covenant between two people who have chosen to enter one single-day journey in life.

You must first get along with what you want to do.
But if you see your partner there are things you're arguing each day and do not really want the girlfriend to get married?
The Word of God tells you you can not go together.

Everyday you are honest and caring but your partner breaks the treaty every time and keeps looking at him, wanting God to show you that this person does not fit?

I do not mean that there is no weakness but you should use your mental ability to look at the average amount of things you agree on whether the contract lasts or most is being violated?

That's just a boyfriend and you're solving things every day ask yourself how to get married?
Our God is faithful because He says you can not ask for bread and give you a stone.
They are showing you in advance but you are pretending not to fit for your traits to that person.

Joel 2:28
And it shall be, after that, that I will pour out my spirit upon all flesh; and your sons, and your wives, shall prophesy, and your old men shall dream dreams, and your young men shall see visions;

****************
This word is quite true and I just wanted to see here that he said your teenagers would see a vision.

It's really young people we see visions and even you see visions but you ignore.

When you are a careful person you are shown in advance even if you make yourself unfamiliar.

You can see the girl for the first time in dressing pants and attracted to her.
But then the ideas come quickly that.

REVELATION 22: 5
The woman shall not put on the apparel that is upon a man, neither shall the man put on the apparel of a woman; for every one that doeth these things is an abomination unto the LORD thy God.

*******************

Now you see him good but also the word of God has translated him to be a disgusting thing to him.
What vision do you want to see?

THERE ARE WORDS

When you first see the man / girl then in the heart you give him the flaw of character according to his appearance, know the same original interpretation in your heart that is your vision but if it is translated by the word of God.
If you happen to fall for your own reasons then know that it is Satan's thinking and contradicts God.

They may come up with the first ideas that you think in your heart (OUR HEART WITHOUT THE BEST OF THE FOLLOWING BABY THERE ARE OUR LIFE)

That is the voice of God completely but when you keep meditating on it you will get a favorable influence with the devil and he comes to put his words to convince you that he is the right person.

I assure you that if you have a relationship with the girl and it comes to abandoning you then you will have to leave because of what you saw at the very beginning that is a malaria.
Whom will you blame?
Yes you begin to say, who the only day I saw him for the first time I knew it was a shirt.
SO?? If you knew how coat would help you?

THERE IS NO HUMAN RELATIONSHIP WITH EXPERIENCE.

NOT

You have asked God about a good husband / husband and you now have to start to be good first to get the same as you.
Do not think you can find him good if you're bad.
Do not expect to be truly wise and then get calm.
Birds that match are moving together.
You like the photography that elevates the binus on all social networks knowing you will meet a friendly fool there in the autumn.

This sense of mind has also been a challenge.
A man / woman can be a hypocrite and stands up spiritually but does not use the mind and everything he is praying for.
This is a problem with loving God only with the spirit without understanding.

MATTHEW 22:37
And he said unto him, Thou shalt love the Lord thy God with all thy heart, and with all thy soul, and with all thy mind.

*****************
When you love anything, all these things must be used so that your love will be safe for you and that's why God insists that you will never be able to love it.

Mind of mind is not a mistake that mind is God's property too.
Heartfelt love is a tendency to love and even to lose sight of weaknesses, to love without paying attention, who care about how people will treat you but what you want is to fulfill the need for your heart.
Now you're drowning in the bottom and bury all your thoughts.

It does not use intelligence even though there are things that are stupid and you do not see why your thoughts are blinded and even come to the point of separating you from God but you still believe that it comes from God.

Who cares or does not use the mind to see whether this person will be able to stand as a man and be a family leader?
You do not think you're not busy and do not want his mind to be successful but what you look for is the Lord to be saved.
Will you go to the Lord for food?
Paul himself knew that there was no Lord to be told but he told them if anyone would not work and then not eat food.
And also God says he will bless the work of your hands.
If you do not work, how will he bless you?

You always have a woman who wants to spend money with you but do not use it to realize that it's a loss in your life.
Does this really fit as a wife and life goes well?

What else does a woman do for you a wonderful thing but she comes dressed in hell then the case ends.
You do not use intelligence but he uses intelligence and that's why he knew that's your medicine and he really did.

NOT USE THE EFFECTS OF THE HEALTH AND LIFE OF YOUR LIFE AND YOUR HEALTH PRODUCTS.

The heart can tell you I can not be away from this but the mind told you this is not a safe person for you.

Body and emotions can tell you that it is impossible to be far away from the person but the mind tells you not to be away from him but not even to talk to him on the phone.

It's really nice to touch your heart and all your emotions are on it and you do not see another.
But he has a great pride, not in a sense, the world has caught him in the same way, has no respect, no attention, no attention, no strife, no discipline or no warning.

1 Peter 3: 7
Likewise, ye husbands, abide with your wives in mind; and to give her the honorable wife, as a weaker vessel; and as joint heirs of the grace of life, that your supplication may not be hindered.

*****************
What God says to stay with Him does not mean that you have to rely on Him.
There are things that are out of the power of your mind so God comes and gives you glory.
But there's another you need to use the mind.
Not only do you say everything is an application but it is an application with insight from those problems and then God will allow your mind to appeal to the goal.

There are people who are not saved and have no plan with God but with the only common sense that they are not even from God they have succeeded.
Now you with God using the mind of GOD will not be more?

For what did God fail to say to live with your wife only spiritually?
What kind of mind does God want you to use here?

Do not just stay with your partner and then just give us the impression that we have saved and told you to nurture even the children of men that Satan is presenting temptations.
Do you want God to tell you that this is not your time to bear pregnancy if it causes you to have sex that you do not sleep on for days to carry that pregnancy?

OGOPA DHAMBI, OTHERS GOD, DETERMINATE YOURSELF AND DO NOT APPLY YOUR EFFECTS THAT YOU NEED TO BELIEVE AND IMPLEMENTATE YOU CAN ALL.

#Powered_By_Holly_Spirit